Che Malone amesema anafahamu mashabiki wanahasira kutokana na kutumia pesa zao kwenda uwanjani kuisapoti timu lakini kama ilivyo kauli mbiu yetu ya 'Nguvu Moja' tunatakiwa kuendelea kushikamama.
Tazama video hii hadi mwisho, Che Malone amewaomba radhi mashabiki kwa hiki kinachoendelea.