Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Che Malone afanya mazoezi na wenzake

25 Sep 2023

Baada ya ajali ile ilidhaniwa huenda mlinzi huyo raia wa Cameroon ameumia sana lakini hakupata madhara yoyote na leo amefanya mazoezi kamili pamoja na wenzie.

Tazama video hii mpaka mwisho ili kujionea jinsi Che Malone alivyokuwa akiwajibika kama kawaida.

Advertisement
Back to homepage
Share this story