Chasambi amesema kipindi cha kwanza tulishindwa kupata mabao kwakuwa tulishindwa kuwafungua Dodoma ila walivyopata maelekezo kutokana kwa kocha ndipo ushindi huo ulipopatikana.
Tazama video hii mpaka mwisho Chasambi amezungumzia upendo wa mashabiki kwa wachezaji wao.