Chasambi ambaye katika ushindi wa mabao 5-2 dhidi ya Kagera Sugar ametoa assisti tatu amesema amefurahi kwa yeye kuchangia moja kwa moja katika ushindi wa timu.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho pia mshambuliaji Steven Mukwala nae amezungumzia kiwango cha Chasambi.