Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: CEO Zubeda afunguka mpaka wa timu zote kuwa na Viwanja vya mazoezi

14 Jan 2025

CEO Zubeda amesema tayari michoro imeandaliwa kwa ujenzi wa Viwanja hivyo ambavyo vitakuwa na miundombinu ya kisasa inayohitajika kwa timu.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Zubeda amezungumzia pia kuhusu mbio za ubingwa na ugumu wa Ligi Kuu ya NBC.

Advertisement
Back to homepage
Share this story