Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: CEO Kajula awashukuru Wanasimba

25 Jul 2024

Kajula ameipongeza Serikali kupitia Mkuu wa Mkoa wa Morogoro pamoja na Jeshi la Polisi kwa kuimarisha ulinzi na hakuna alipata madhara yoyote licha umati mkubwa kujitokeza.

Tazama video hii hadi mwisho mwisho CEO Kajula amewaomba radhi mashabiki walifika Kituo cha Treni ya Mwendokasi (SGR) na kukosa nafasi ya kusafiri.

Advertisement
Back to homepage
Share this story