Kajula amesema tunakutana na timu bora Afrika na tunahitaji kusonga kutinga nusu fainali kwahiyo tunapaswa kuungana ambapo mashabiki wanapaswa kujitokeza kwa wingi kuipa sapoti timu.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho CEO Kajula ametoa maoni yake kuhusu jinsi mchezo utakavyokuwa.