Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: CEO Kajula aridhishwa na ari za wachezaji

8 Nov 2023

Kajula amesema kikosi kipo imara na kamili kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Namungo utakaopigwa Uwanja wa Uhuru saa 10 jioni.

Tazama hadi mwisho mahojiano haya, CEO Kajula amewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi uwanjani.

Advertisement
Back to homepage
Share this story