Simba Sports Club
News

VIDEO: CEO Kajula aelezea kuhusu Bima za mashabiki

23 Jun 2023

Kajula amesema tumeingia makubaliano na benki mbalimbali ili kufanikisha jambo hilo ambalo litakuwa la kwanza kufanywa na klabu katika Ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati.

Tazama mahojiano mpaka mwisho ili kufahamu pia kuhusu mchakato wa kupatikana kwa kadi za mashabiki.

Advertisement
Back to homepage
Share this story