Cadena amesema hilo ni jambo zuri kutokana na ubora na ndio lengo la timu yenye kuhitaji mataji.
Mlinda mlango, Hussein Abeli amesema changamoto ya kuwania namba ni kubwa lakini atahahakikisha anapambana ili kumshawishi kocha.
Advertisement
Tazama mahojiano haya hadi mwisho kujua walichoongea.