Bocco amesema morali ya wachezaji haijashuka licha ya kutolewa kwenye michuano ya Azam Sports Federation na lengo lililobaki ni kuhakikisha tunawapa furaha mashabiki kwa kushinda mechi za ligi zilizosalia.
Tazama hadi mwisho mahojiano haya aliyofanya baada ya kumalizika mazoezi ya leo.