Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Benchikha azungumza baada ya kutua Dar

11 Dec 2023

Benchikha amesema tumeruhusu bao dakika ya mwisho wa mchezo kutokana kupoteza umakini lakini wachezaji wamefanya kila kitu kilichotakiwa.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Benchikha amezungumzia pia kuhusu mechi ya marudiano.

Advertisement
Back to homepage
Share this story