Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Benchikha akanusha tetesi za kutimkia Algeria

26 Jan 2024

Benchikha ameyasema hayo wakati akiongoza mazoezi ya jioni katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena ambapo wachezaji wote isipokuwa waliokuwa kwenye majukumu ya timu za Taifa wameshiriki.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Benchikha ameelezea kutofurahi timu yetu ya Tanzania kutolewa mapema kwenye michuano ya AFCON.

Advertisement
Back to homepage
Share this story