Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Benchikha afunguka baada ya kupoteza dhidi ya Al Ahly

30 Mar 2024

Benchikha amesema Al Ahly walipata nafasi moja na wakaitumia kutuadhibu lakini sisi tulipata zaidi ya saba lakini hatukuzitumia, tunaenda kujipanga kwa mechi ya marudiano na hatujakata tamaa.

Tazama video hii hadi mwisho Benchikha amezungumzia mipango ya mechi ya marudiano itakayopigwa jijini Cairo, Aprili 5.

Advertisement
Back to homepage
Share this story