Barker amesema tulitawala mchezo kwa asilimia kubwa na tulikuwa bora katika maeneo mengi huku kikosi kikizidi kuoneka kuimarika.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho kocha Barker amezungumzia mchezo wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien.