Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Baraza la Washauri likitumiwa vizuri klabu itapata mafanikio

21 Dec 2023

Nkwabi amesema Baraza la Washauri linaundwa na viongozi waandamizi ambao wanaijua vizuri Simba kwahiyo itakuwa rahisi kuzipatia ufumbuzi changamoto zinazotokea.

Tazama hadi mwisho mahojiano haya Nkwabi amezungumza mengi kuhusu Baraza hilo.

Advertisement
Back to homepage
Share this story