Balua amesema tangu akiwa Prisons amekufanya hivyo na anaendelea kufanyia mazoezi ili kila siku kuwa bora zaidi kwenye kupiga mipira ya adhabu.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Balua amezungumzia pia kuhusu ubora wa kikosi chetu na shukrani kwa mashabiki