Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Balua afunguka kilichojificha nyuma ya kiwango chake

6 May 2024

Balua ambaye amefunga mabao mawili katika mechi tatu zilizopita amesema lengo letu kwa sasa ni kuhakikisha tunamaliza katika nafasi mbili za juu ili kujihakikishia kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Balua amewaomba mashabiki kuendelea kuisapoti timu ili tumalize msimu vizuri.

Advertisement
Back to homepage
Share this story