Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Bado tuna nafasi ya kufuzu nusu fainali tukiwa ugenini

29 Mar 2024

Msigwa amesema timu yetu ina wachezaji bora na wanaweza kupata matokeo uwanja wowote hivyo hawatakiwi kuvunjika moyo na wawe na Imani tunaenda kupindua meza Cairo.

Tazama video hii hadi mwisho, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Salim Abdallah 'Try Again' ametoa neno baada ya kumalizika mchezo.

Advertisement
Back to homepage
Share this story