Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Azim Dewji afunguka baada ya ushindi dhidi Sfaxien

5 Jan 2025

Mzee Dewji ambaye amembatana na timu mpaka Tunisia amesema haikuwa kazi rahisi lakini wachezaji wamepambana na Sasa tunahitaji alama moja pekee ili kufuzu hatua ya robo fainali.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mzee Dewji amezungumzia salamu tulizotumiwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Advertisement
Back to homepage
Share this story