Viungo hao washambuliaji wamesema kila mchezaji anakuja umuhimu wa mchezo huo na yupo tayari kuhakikisha anapambana anaisaidia timu kwa ajili ya furaha ya Wanasimba wote.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kibu amegusia ushindi tuliopata mara ya mwisho nchini Angola dhidi ya Primiera De Agosto.