Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ateba afunguka furaha ya kufunga bao la kwanza

31 Aug 2024

Ateba amesema malengo yake ni kuhakikisha anafunga kila anapopata nafasi ili kuisaidia timu kutwaa mataji na kufanya vizuri kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ateba amezungumzia mipango yake kuelekea msimu huu ambao ndio kwanza umeanza.

Advertisement
Back to homepage
Share this story