Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Alichosema Semaji baada ya timu kufika Misri

28 Mar 2025

Ahmed amesema mazoezi ya timu yatakuwa yanafanyika usiku kwenye muda ule ule ambao mchezo utachezwa ili kuwafanya wachezaji kuzoea hali ya hewa ambayo ni baridi.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia wachezaji waliokuwa na kikosi cha Taifa Stars ambao walitangulia.

Advertisement
Back to homepage
Share this story