Morice amesema malengo yalikuwa kupata ushindi ugenini na yamefanikiwa kilichobaki ni kumalizia kazi kwenye mchezo wa marudiano wiki ijayo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Morice amezungumzia 'asisti' aliyotoa kwa bao la pili lililofungwa na Kibu Denis.