Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Alichosema Morice Abraham baada ya mchezo dhidi ya Gaborone

28 Sep 2025

Morice amesema haukuwa mchezo rahisi lakini amefurahi kupata nafasi ya kucheza mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika huku alionyeshwa kiwango safi.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Morice amezungumzia mchezo wa Ligi unaofuata dhidi ya Namungo.

Advertisement
Back to homepage
Share this story