Mgunda amesema baada ya kuwasoma kipindi cha kwanza na kuyajua mapungufu na ubora walionao cha pili tuliweza kuwamudu vizuri na kupata ushindi huo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mgunda amewamwagia sifa wachezaji pamoja na benchi lake la ufundi.
Mgunda amesema baada ya kuwasoma kipindi cha kwanza na kuyajua mapungufu na ubora walionao cha pili tuliweza kuwamudu vizuri na kupata ushindi huo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mgunda amewamwagia sifa wachezaji pamoja na benchi lake la ufundi.