Mgosi amesema baada ya kupata mabao matatu kipindi cha kwanza ilibidi awaambie wachezaji wapunguze kasi ili kutunza nguvu kwakuwa upinzani ulio mbele yetu ni mkubwa.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mgosi amefunguka mengi kuhusu mchezo huo.
Mgosi amesema baada ya kupata mabao matatu kipindi cha kwanza ilibidi awaambie wachezaji wapunguze kasi ili kutunza nguvu kwakuwa upinzani ulio mbele yetu ni mkubwa.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mgosi amefunguka mengi kuhusu mchezo huo.