Mgunda amesema ilikuwa mechi ngumu kutokana na KMC nao kupigania nafasi nne za juu na walitupa upinzani mkubwa lakini tulikuwa bora na mwisho wa siku sisi ndio tuliibuka na ushindi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Mgunda amegusia mipango ya mechi ya mwisho dhidi ya JKT Tanzania.