Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Alichosema De Reuck baada ya ushindi dhidi ya TRA

23 Mar 2026

De Reuck ambaye amechaguliwa mchezaji bora wa mchezo amesema tunahitaji kuendelea kuongeza umakini kwakuwa ligi ni ngumu.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho De Reuck amezungumzia pia furaha yake ya kuwa mchezaji bora kwa mara ya tatu kwenye Ligi.

Advertisement
Back to homepage
Share this story