Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Alichosema Chasambi baada ya ushindi dhidi ya Mbeya City

13 Apr 2025

Chasambi amesema haikuwa rahisi kutokana na ubora wa City lakini wachezaji wote walifahamu umuhimu wa kuiwezesha timu kufuzu hatua hiyo ndio maana kila mmoja alipambana kuhakikisha malengo yanafikiwa.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Chasambi amezungumzia 'assist' aliyotoa kwa Fabrice Ngoma.

Advertisement
Back to homepage
Share this story