Chama amefunga bao la pili la kusawazisha kwa mpira wa kuzungusha ‘cave’ vitu ambavyo anavifanya ingawa sio mara nyingi.
Tazama mahojiano haya mpaka mwisho, Chama pia amezungumzia mchezo mzima dhidi ya Power Dynamos na mipango ya mechi ya marudio wiki mbili zijazo.