Ahmed amesema licha ya hali ya hewa kuwa baridi kali hasa asubuhi lakini wachezaji wapo kwenye hali nzuri na wanaendelea vema na mazoezi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed ametoa ratiba nzima ya timu huku pia akizungumzia Meneja Mkuu, Dimitar Pantev.