Ahmed amekiri kuwa TRA ni timu imara yenye wachezaji wengi wazoefu wa Ligi Kuu lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata alama tatu ingawa haitakuwa kazi rahisi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia hali ya mlinzi wetu wa kati Wilson Nangu ambaye Uongozi wa juu ulienda kumtembelea leo.