Ahmed ameyasema hayo wakati kikosi kikiwa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere kuelekea nchini Misri huku akiweka wazi tutakuwa na wiki tano za maandalizi ya msimu (Pre Season).
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed hakusita kumwagia sifa mlinzi wetu mpya wa Rushine De Reuck tuliyemsajili kutoka Mamelodi Sundowns.