Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Al Masry wametufunga lakini hawajatutoa mashindanoni

3 Apr 2025

Azim amesema kwenye mchezo wa leo tulikosa bahati lakini mpira ni mchezo wa matokeo tunahitaji kupambana kwenye mechi ya marudiano ili kufikia malengo.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Azim ametaja faida mbili tulizonazo kuelekea mchezo wa marudiano.

Advertisement
Back to homepage
Share this story