Ahmed amesema Mukwala ni mchezaji aliyekamilika kwakuwa anaweza kufunga pamoja na kutoa pasi za usaidizi (Assist) ndio maana tumemsajili.
Tazama video hii hadi mwisho Ahmed amezungumzia sifa zote za Mukwala na majukumu yake ndani ya kikosi.
Ahmed amesema Mukwala ni mchezaji aliyekamilika kwakuwa anaweza kufunga pamoja na kutoa pasi za usaidizi (Assist) ndio maana tumemsajili.
Tazama video hii hadi mwisho Ahmed amezungumzia sifa zote za Mukwala na majukumu yake ndani ya kikosi.