Ahmed amesema Chasambi ni mchezaji kijana mwenye kipaji kikubwa lakini baada ya kutua Simba ataingia kikosini taratibu ili asiwe na presha.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu usajili wa nyota wengine wapya ambao tunatarajia kuwasajili.