Ahmed amesema tulikuwa hatujawahi kushinda katika Uwanja wa Kaitaba kwa misimu mitatu, pia ushindi wa mabao matano ndio mkubwa zaidi msimu huu tangu ligi ilipoanza.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kiwango cha mshambuliaji Elie Mpanzu ambaye amecheza mechi yake ya kwanza leo.