Ahmed amesema wachezaji wote ambao hawapo kwenye majukumu ya timu za taifa ndio wamerejea mazoezini tayari kwa mchezo huo ambao utatupa tathimini kamili ya msimu mzima wa 2024/25.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed ametoa pia ratiba ya mechi zote zilizosalia.