Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed azungumzia maandalizi ya mchezo wa kesho

28 Mar 2024

Ahmed amesema kikosi kimefanya mazoezi ya mwisho na nyota wetu Clatous Chama aliyekuwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa nae amerejea.

Tazama video hii hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu waamuzi wa mchezo ambao tayari wamewasili.

Advertisement
Back to homepage
Share this story