Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed azungumzia kilichotokea baada ya mazoezi ya jioni

21 Nov 2024

Ahmed amewatoa hofu Wanasimba kutokana na video na picha zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikionyesha matukio yaliyotokea ambapo amesema Mamlaka za soka nchini wameona kilichotokea na hatua stahiki zitachukuliwa.

Tazama video hii hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu mshambuliaji Steven Mukwala kujiunga na timu Leo.

Advertisement
Back to homepage
Share this story