Ahmed amesema kikosi kimewasili Libya saa tano asubuhi na jioni watafanya mazoezi ya utimamu wa mwili ili kuondoa uchovu wa safari.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu hali ya hewa.
Ahmed amesema kikosi kimewasili Libya saa tano asubuhi na jioni watafanya mazoezi ya utimamu wa mwili ili kuondoa uchovu wa safari.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu hali ya hewa.