Ahmed amesema wachezaji waliokuwa kwenye majukumu ya timu za Taifa tayari wapo kwenye hali nzuri na jambo zuri ni kwamba wote wamepata dakika nyingi za kucheza.
Fuatilia mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia jinsi wachezaji wanavyotaka kurejesha heshima na kuondoa dharau.