Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed awatoa hofu Wanasimba kuhusu mechi ya pili ya Fainali ya Kombe la Shirikisho

15 May 2025

Ahmed ametoa kauli hiyo kufuatia kuwepo taarifa katika mitandao ya kijamii kuwa mchezo huo utapigwa katika Uwanja wa Amaan Zanzibar kitu ambacho Ahmed amesema kwa sasa tunatakiwa kufikiria mchezo wetu wa Jumamosi.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed ameweka wazi kuwa baada ya mchezo wa Jumamosi ndio tutatangaza kuhusu mechi hiyo ya Mei 25.

Advertisement
Back to homepage
Share this story