Ahmed ametoa kauli hiyo kufuatia kuwepo taarifa katika mitandao ya kijamii kuwa mchezo huo utapigwa katika Uwanja wa Amaan Zanzibar kitu ambacho Ahmed amesema kwa sasa tunatakiwa kufikiria mchezo wetu wa Jumamosi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed ameweka wazi kuwa baada ya mchezo wa Jumamosi ndio tutatangaza kuhusu mechi hiyo ya Mei 25.