Lengo la Meneja Habari ni kuhakikisha mashabiki wanajitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid katika mchezo wetu wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa saa 10 jioni.
Tazama video hii hadi mwisho viongozi wa Simba Burudani wamepata nafasi ya kutoa salamu kabla ya kumuachia Ahmed kuwahutubia Wanaarusha.