Ahmed amesema wapinzani wetu JKT hawakucheza kwa muda mrefu walikuwa wakifanya mazoezi na kucheza mechi za kirafiki kwahiyo walikuwa timamu zaidi ya wapinzani wetu.
Tazama Mahojiano hadi mwisho Ahmed amemzungumzia Clatous Chama na Kocha Abdelhak Benchikha.