Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed awamwagia sifa nyota wetu wapya

1 Feb 2024

Ahmed amesema Fred Michael ameanza kwa kusaidia kupatikana bao (Assist) wakati Pa Omar Jobe akipiga bao la nne ambalo amelitaja kama 'Bao la AFCON'.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia timu kuondoka kuelekea Kigoma tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mashujaa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story