Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed awaita Wanasimba kwa Mkapa Ijumaa

25 Mar 2024

Ahmed anaendelea na zoezi la hamasa kuelekea mchezo huo mkubwa na Leo alikuwa Temeke ambapo amesema kama tukiendelea na mshikamano huu na kujitokeza kwa wingi uwanjani tuna nafasi kubwa ya kufuzu nusu fainali.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu taratibu wa mchezo utakavyokuwa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story