Ahmed amesema baada ya mashabiki kushindwa kuiona timu yao wikiendi iliyopita kesho ni siku yao la kupata burudani ambayo wameisubiri kwa muda.
Tazama mahojiano hadi mwisho Ahmed ameweka wazi kuwa hatutaidharau TMA na tutaingia uwanjani kwa tahadhari zote lengo likiwa kupata alama tatu na kutinga hatua inayofuata.