Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed awachambua wachezaji wapya

29 Jan 2024

Ahmed amesema mshambuliaji Fred Michael amekamilika kila idara na anaweza kufunga katika kila staili huku akisema Pa Omar Jobe nae ni moto wa kuotea mbali.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amewaomba Wanasimba kuwaombea dua ili wafanye vizuri.

Advertisement
Back to homepage
Share this story